Sunday, June 22, 2008

Mpo???


Hi Guys!

OLD DAYS! (20/08/2003). Hapa wana-ndugu tulikuwa kwenye sherehe ya kukaribishwa mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine - Morogoro. ukumbi ni VETA - Morogoro.

FROM LEFT: Agnes Nyanjali, Son of Peasant (Seiya), Prosper Fivao (Hatujakubaliana...), Susan Mkenda (Sister) and Grace Robert.



TUTAFUTANE JAMANI!

DASTUN UPO WAPI NDUGU YANGU????

Dax....Dax....Dax....Dax....Dax....Dax!!!!

Kwa taarifa nilizo nazo ndg yangu upo Dar, je ni kweli???? Halafu nasikia sasa ni baba wa familia, je ni kweli??????

Si hivyo tuu bali umenenepa kupita kiasi!!!!!!!!

Fanya mpango tuonane kijana tumetoka mbali, mambo ya Kinunu na Kihonda!!!!!


Napatikana kwa Email: apolinarys@yahoo.com
Ama Mob: +255 713 469 073






By: Son of Peasant - Seiya!

Saturday, June 14, 2008

Hongera Mama Obama!

The beauty of this picture is not ONLY political…also religious…or romantic… all of the above.
This photo is a picture of a strong black man who, in the face of a setback, is cherishing a moment with the support of a strong black woman who is 100% behind him.

Together they are making history. This is what our families should be like and can be like. I am a black woman beyond definition; fearfully, wonderfully and UNIQUELY created. STILL defying place, time and circumstance ONLY through God's amazing GRACE!

Son!

Wednesday, June 11, 2008

SUA CLASSMATES (2001 - 2004)

Hi

Mnakumbukia hizi enzi??? Mambo ya VETA MOrogoro, namwona Mzee Senga (Tai na shati la kijani), Mtega, Ruta na Wife. Mbele Seiya na Mutu. Kwa mbaaali na mwona Nyanana (nguo nyekundu), Wakuganda na Edman.

Haya bwana tutafutane jamani.
















SUA - Classmates: AEA (2001 - 2004) .
Jamani MPO WAPI??????? Tuwasiliane jamani!!

Najua wengine mtauliza kwni wewe upo wapi??? Nacheka kidogo. Mimi infwakti nipo hapa kamujini Dar nakunywa maji ya chumvi. Je wewe, unaye soma hii ujumbe, iko wapi weye????/

All the best,

Son of Peasant - Seiya!

Monday, June 9, 2008



Hi, how are you guys. Where are you????? You are so quite!
Tujuliane hali jamani na tushirikishane kwa yale tuyafanyayo.
Networking is very important in this world, let us keep in touch and keep that habit.
I always remember you guys
Standing from left: Semi Nickson, Son of Peasant (Seiya), Rutaizibwa Joseph, Amos Ndabila, Sengasenga Abel, 'BG' Wiliaum Bakuza, Prosper Fivao, Seif Mohamed, Wulystan Mtega and Steven Mguruka.
Sitting from left: Adoado Misama, Saad Mtambule, Stanslaus Nyavanga, Agnes Nyanjari and Calistus Chonya.
All the best and stay Blessed.
Son of Peasant - Seiya!

Sunday, June 1, 2008

All the Best!

Hi to all MBA I Full Time,

I would like to wish you all the best to the coming University Examinations.

God is so greet to everyone dont worry just rely Him.

Massage: Read Philp 4:13

Thank you.

Wednesday, May 28, 2008

Hi

How are you all, this is my Blog!